Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimekubalina na jeshi la Polisi Tanzania kusitisha maandamano yaliyokuwa yafanyike kesho tarehe 25/03 kushinikiza kujiuzulu kwa Mawaziri wa Elimu

Upande wa Chadema kwenye mazungumzo hayo umewakilishwa na Mwenyekiti wa Taifa Freeman Mbowe na ule wa polisi umewakilishwa na IGP Said Mwema. Pande mbili zimeafikiana kukutana tena ndani ya siku 14 kwa ajili ya kuboresha mahusiano ya pande mbili.

Source: Chennel Ten////Jamii Forum