Sunday, January 13, 2013

HIZI NI HARAKATI ZA MAISHA MWANZA JANA NA LEO

 Usiogope kuwa eti unaudhaifu wa mwili, jamaa anachapa kazi ya kupiga debe
 Haijalishi usalama walionao wakati wakifanya barabarani, mkate wa siku ndio dili kamili
 Kazi ni kazi, ilimradi mkono uende kinywani
 Inafika wakati Kondakta kutoa huduma bora kwa wateja wake.
Harakati za kutafuta mkate, kimjini mjini majani nayo ni dili ujue..

No comments: