Thursday, April 9, 2015

Habari kubwa kwenye Magazeti ya leo

Leo katika magazeti ya hapa nyumbani majina ya watu hawa ndio yamepewa dhamana ya kuuza magazeti; Zitto Kabwe, Mizengo Pinda,  Askofu Gwajima, Mtanzania wa alshabab, Ben Mkapa, Lowasa, na Rais Kikwete,.. Haya ndio miongoni mwa yanayouza magazeti siku ya leo. 








No comments: