Friday, February 21, 2014

HABARI MPYAAAAAAAAAAAAAAAAA ........ MATOKEO YA KIDATO CHA NNE

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE YAMETANGAZWA LEO MUAINISHO HUU HAPA 
Asilimia 42.19 wamepata DARAJA 0, kati ya hao wavulana ni 78,950 na wasichana ni 72,237
DARAJA LA NNE 36%, Wavulana ni 63,987 na wasichana ni 62,841.
DARAJA LA TATU 12.78% , wavulana ni 27,904 na wasichana ni 17,113.
DARAJA LA PILI 16.17%, wavulana ni 14,167 na wasichana ni 7,561.
DARAJA LA KWANZA 2.15%,(sawa sawa na 7579) ,kati ya hao wavulana ni 5,030 na wasichana ni 2,549
KUTAZAMA MATOKEO BONYEZA HAPA

No comments: