Saturday, October 20, 2012

KWENYE CAMPAS NIGHT , YA TAFES SAUT MWANZA .... USIKU HUU KATIKA VIWANJA VYA NYAMALANGO ILIKUWA HIVII.... HIZ HAPA PICHA

Hapa mnenaji alikuwa Eugen Mulisa, wa HHC Mwanza.... alipiga neno na baadae maombi.... kisha unachokiona kwenye picha hizi ndicho kilichoendelea... Hapa ilikuwa upako tuuuuuuu...!!!!
Hawa jamaa wanaitwa Kihayile Group
Vocalist wa Kihayile Group, kama ni kipaji dada huyu amejaaliwa

Jamaa huyu pembeni mwenye shati jeupe, anaitwa David Silwimbe, anapiga vocal  kali sana katika kumsifu jehova
JUU , ni praise team ya TAFES - SAUT MWANZA wakipiga vocal katika kumsifu Jehovaaaaaaa!!!!!!
Raha ya muziki inaanzia kwa hawa jamaaa... hawa ni wapiga vyombo wa TAFES,
Praise team kazini sasaaaaaa !!! ni utukufu kwa kwenda mbeleeeee!!!

No comments: