Story imeandikwa na Ahmad Nandonde, alieko PWANI
Waandishi Wa Habari
Nchini Wametakiwa Kuandika Habari Zitakazoibua Mijadala ambayo Itawafanya
Wanaume Kushirikishwa Katika Suala Zima La Afya Ya Uzazi Wa Mpango.
Hayo Yamesemwa Leo na Dk.Katanta Simwanza Alipokuwa
Akizungumza Na Waaandishi Wa Habari Katika Semina Ya Siku Tatu Inayofanyika
Mjini Bagamoyo.
Dk.Simwanza Amesema Endapo Mwanaume Atashirikisha
Ataweza Kutoa Mchango Mkubwa Katika Jamii Husasani Sula La Uzazi Wa Mpango
Kutokana Na Uwezo Wa Kutoa Maamuzi Alionano Katika Jamii Na Hata Hali Ya
Kujiamini.
Aidha Dk.Katanta Amewataka Watu Kutokuwa Na Dhana
Inayoamini Kuwa Wanaume Ni Waonevu Na Ni Watu Wabaya Kwa Jamii Na Kuwataka
Kuaachana Na Dhana Hiyo Kwani Wanaume Ni Wakishirikishwa Wanaweza Kuleta
Mabadiliko Katika Suala La Afya Uzazi Wa Mpango.
Akizungumzia Suala La Sera Ya Afya Bi.Beatrice
Ezekiel Ameitaka Serikali Kujipanga Ili Kufanikisha Utekelezaji Wa Sera Ya
Jinsia Ili Kuweza Kuleta Mabadiliko Katika Jami Na Hii Ni Kutokana Na Baadhi Ya
Halmashauri Klatika Dawati La Jinsia Limekuwa Likikikumbwa Na Changamoto
Zitokanazo Na Ukosefu Wa Vitendea Kazi Na Fedha.
Ameongeza Kuwa Ili Kutekeleza Sera Ni Lazima
Srekilali Kkutenga Kiasi Cha Fedha Ikiwa Ni Pamoja Na Kuwa Utaratibu Wa
Kuwawezesha Wanahabari Kupata Taarifa Sahihi Na Kwa Kawati Ili Waweze Kufikisha
Taarifa Kwa Jamii Husika.
Hata Hivyo Kwa Upande Wake Mwezeshaji Mwengine
Katika Semina Hiyo Bw. Sospeter Magumba Amesema Tatizo La Jinsi Limekuwa
Likiwaelemea Zaidi Wanaume Kutokana Na Kujihusisha Na Mambo Mengi Ya Kuisaidaia
Famili Hali Inayomfanyakushindwa Kushiriki Ipasavyo Katika Suala Zima La
Upangaji Wa Uzazi Wa Mpango.
Semina Hiyo Imeeandaliwa Na Shirika La Kimataifa
La Nchini Ujerumani La Giz Kwa Lengo La Kuelimisha Waandishi Wa Habari Masuala
Mbali Mbali Ya Jinsi Jinsia Na Maambukizi Ya Virusi Vya Ukimwi.
No comments:
Post a Comment