Friday, December 20, 2013

MAWAZIRI WANNE , NYAZIFA ZAO ZATENGULIWA.... MSIKILIZE WAZIRI MKUU WAKATI AKITOA TAARIFA HIYO

SAUTI YA WAZIRI MKUU PINDA


HAWA HAPA AMBAO UTEUZI WAO UMETENGULIWA NA RAIS




HABARI YA HIVI PUNDE...,Rais ameridhia mawaziri Hamis Kagasheki (waziri wa utalii) ambae tayari alishatangaza kujiuzulu!, Emmanuel Nchimbi (Waziri wa mambo ya ndani),Shamsi Vuai Nahodha(Waziri wa ulinzi ) na Mathayo David Mathayo (Waziri wa Mifugo).
Hayo yametangazwa na Mh Mizengo Pinda, waziri mkuu, muda mfupi uliopita bungeni....kwa hali hiyo mawaziri wanne wameanguka!

No comments: