Friday, December 27, 2013

MAKAMBA ATETA NA MADEREVA WA BODA BODA MWANZA ..MSIKILIZE HAPA

Makamba azungumza na bodaboda Mwanza , aahidi kuendelea kuwasaidia kupata pikipiki za mkopo kwa masharti nafuu. Awashawishi kuanza kutumia huduma za Bima za maisha.. awafadhili madereva 100 kuanza kutumiahuduma za bima.
Mashirika mawili yaanza kuwahudumia Ndege Insurance na Shirika la Bima la taifa.











No comments: