Wednesday, June 6, 2012

MDAU VICTOR RICHARD KATIKA FACEBOOK.... KUHUS MTOTO RUKIA


Photo: SALAMU NA SHUKRANI MAALUM KWENU
Namshukuru mwenyezi Mungu kwa kunipa ujasiri wa pekee wa kuwahabarisha watu juu ya maisha ya mtoto RUKIA anayeteseka ktk familia duni baada ya kuungua moto wilayani RUANGWA-LINDI.Macho ya Mungu yamepitia kwangu,hakiaka yeye ni mwenye huruma.Najua mumeguswa,mumeumia,mumesikitshwa na munahuzunika sana.Haya ndiyo maisha ya mwanadamu.Nawaombeni sana muzidi kuwa karibu nami tusaidiane tatizo hili.Nawashukuru uongozi na wafanyakazi wa EAST AFRICA TV kwa kueneza habari kwa jamii,sijatoa hata sarafu moja kueneza habari za mtoto huyu,Blogers wanaosambaza habari hizi.Wadau wanaochangia kwa maombi,pesa,ushauri n.k.
 Kumbukeni mtoto anaendelea na matibabu St.WALBURG'S HOSPITAL NYANGAO LINDI.Mchango unapokelewa m pesa 0755 754494/Tigo 0715 754494
           MUNGU AWAZIDISHIE PALE MULIPOPUNGUZA.
                                       AMEN
SALAMU NA SHUKRANI MAALUM KWENU Namshukuru mwenyezi Mungu kwa kunipa ujasiri wa pekee wa kuwahabarisha watu juu ya maisha ya mtoto RUKIA anayeteseka ktk familia duni baada ya kuungua moto wilayani RUANGWA-LINDI.Macho ya Mungu yamepitia kwangu,hakiaka yeye ni mwenye huruma.Najua mumeguswa,mumeumia,mumesikitshwa na munah...uzunika sana.Haya ndiyo maisha ya mwanadamu.Nawaombeni sana muzidi kuwa karibu nami tusaidiane tatizo hili.Nawashukuru uongozi na wafanyakazi wa EAST AFRICA TV kwa kueneza habari kwa jamii,sijatoa hata sarafu moja kueneza habari za mtoto huyu,Blogers wanaosambaza habari hizi.Wadau wanaochangia kwa maombi,pesa,ushauri n.k. Kumbukeni mtoto anaendelea na matibabu St.WALBURG'S HOSPITAL NYANGAO LINDI.Mchango unapokelewa m pesa 0755 754494/Tigo 0715 754494 MUNGU AWAZIDISHIE PALE MULIPOPUNGUZA. AMEN
Photo: RUKIA AMELAZWA WODI NO3 CHUMBA NO2 ST.WALBURG'S HOSPITAL NYANGAO-LINDI TZ.
DUA,SALA NA IBADA ZAHITAJIKA SANA KWA MTOTO HUYU.MUNGU AMZIDISHIE PUMZI NA UMRI WA KUISHI HAPA DUNIANI.
Photo: HUDUMA ILIZIDI KUIMALIKA KWA MTOTO RUKIA
Hakika Mungu amepenyeza mkono wake ktk shida hii.
M PESA 0755 754494
TIGO     0715 754494

No comments: