Sunday, May 27, 2012

ZANZIBAR:- HALI INARIPOTIWA KUTOKUWA SHWARI KWA SIKU YA PILI LEO


Hili ndilo kanisa lilochomwa moto huko Zanzibar
Gari la Kiongozi wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Bishop Dickoson Maganga lililochomwa moto na watu wasiojulikana usiku wa jana katika eneo la Kariakoo nje ya kanisa hilo ambapo uharibifu wote unaelezwa kuwa umegharimu shilingi millioni 120

Wanausalama

CHANZO ZANZIBAR YETU




No comments: