Thursday, August 16, 2012

MKUU WA WILAYA MTWARA MJINI... WILIMAN KAPENJAMA NDILE....AWATULIZA WANANCHI WA ZIWANI WALIOPATA KICHAPO CHA POLISI BAADA YA ASKARI POLISI KUJERUHIWA

Mkuu wa wilaya Ndugu Wilman Ndile, akifafanua jambo mbele ya wananchi alipofanya nao mkutano wa hadhara
Wananchi  wakimsikiliza mkuu wa wilaya 
Hapa inadaiwa bomu la machozi lilitua
Ustaadhi.... akiwa na mkewe pembeni ya vyombo vilivyoathiriwa kwenye vurugu hizo
Mama Mwajuma Ismael, akiwa na mwanae ...mama huyu anadai mumewe amekamatwa na amewekwa ndani  ingawa hakuhusika .. wakati wa tukio alikuwa maelala
Mzee huyu akiwa pembeni ya vyombo vyake ambavyo anadai vilipigwa marungu na askari
Mzee Hasani Chinemba ambae ni mlemavu , alipata kichapo japo makofi kidogo , ingawa wakati wa tukio yeye anasema alikuwa amelala ndani ya nyumba yake
Hivi ni baadhi ya vyombo vya ndani vilivyo athiriwa na vurugu hizo... inasemekana polisi walivipiga marungu

Idrisa Bandali , wa Info radio, mwenye shati jekundu, akipiga mchapo na makarani wa sensa
Mwenyekiti wa kiji cha Nambeleketela, tarafa ya ziwani akifafanua jambo baada ya mkuu wa wilaya  kuzungumza
Mkuu wa wilaya akizungumza na mdau mmoja wa makarani wa sensa waliopoteza simu 
Mwadada, Jamila , karani wa sensa alipozungumza na mkuu wa wilaya akifafanua kupotelewa simu yake 


Mdau akitwanga swali lake kwa mkuu wa wilaya
Wazee wa kijiji... pamoja na swaumu kali...wanamsikiliza Mkuu wa wilaya 

No comments: