Thursday, August 16, 2012

ASUBUHII HII MKOANI MTWARA... MTU AMBAE HAKUFAHAMIKA JINA LAKE MARA MOJA.. AKUTWA AKIWA AMEKUFA MAJI

Wananchi waliofika kushuhudia tukio hilo,
Utambuzi unaendelea.. mwananchi akiutazama mwili wa marehemu kujaribu kumtambua
PICHA ZOTE NA BLOG HII

STORY KIDOGO HAPA
Kijana mmoja ambae hakufahamika jina lake mara moja... ameokotwa ufukweni mwa bahari ya hindi, eno la feri mkoani mtwara akiwa amekufa....
Mashuhuda wanasema mtu huyo si mkazi wa eneo hilo na yawezekana amekufa baada ya kupigwa na kutoswa baharini ...na watu ambao hawajafahamika, Hii ni kutokana na majeraha aliyokuwa nayo mwilini mwake , wakati mili wake ulipookotwa....
Taarifa rasmi hazijatolewa na mamlaka husika juu ya chanzo cha kifo cha huyo ...lakini yasemekana AMEKUFA MAJI.....POLISI WANAENDELEA NA UCHUNGUZI KUHUSIANA NA TUKIO HILI... 

No comments: