Friday, August 10, 2012

AJALI MOROGORO..ENEO LA MAKUNGANYA ...KM 5 KUTOKA MJINI MABASI MATATU YAHUSIKA... NI ALLYS, SHABBIBY, SUMMRY...

ZISIKILIZE SAUTI ZA MAJERUHI NILIOFANYA NAO MAHOJIANO KWA NJIA YA SIMU.... TAFUTA PALIPOANDIKWA UNABOFYA UNASIKILIZA HAPA...UPANDE WAKO WA KULIA UNAPOSOMA ..
AU GUSA HAPA KUSIKILIZA

AJALI NYINGINE NI HUKO MKOANI PWANI ...
Mzimu  wa ajali  za barabarani  wazidi  kulitesa  Taifa  baada ya ajali mbaya  ya juzi  huko mkoani Tabora  iliyopelekea  vifo vya  watanzania 17 na  wengine 78 kujeruhiwa  ,watu wengine  zaidi ya wanne  wameripotiwa  kufa na  wengine  zaidi ya 15  kujeruhiwa  vibaya  baada ya  ajali  mbaya  kutokea  eneo la  Makole/Wami  mkoani  Pwani katika  barabara  kuu ya  Chalinze - Tanga asubuhi  ya  leo 

No comments: