NAFASI
|
JINA
|
SIFA YA KIPIMO
|
ALAMA WASTANI
|
MAONI YA WASHIRIKI
|
1
|
NDUGAI,
JOB
YUSTINO
|
USIKIVU KWA WABUNGE
|
2.5
|
Amejitahidi sana kukwepa upendeleo wa kisiasa na kuilinda serikali; haoneshi utashi wake kumiliki mamlaka aliyopewa na Kanuni za Bunge anapoongoza vikao.
|
UZINGATIAJI KANUNI
|
2.625
| |||
UPENDELEO WA KISIASA
|
2.5625
| |||
UZINGATIAJI HOJA
|
2.375
| |||
USHABIKI BUNGENI
|
3
| |||
JUMLA
|
KIWANGO
|
13.0625
| ||
WASTANI
|
2.6125
| |||
2
|
SIMBACHAWENE,
|
USIKIVU KWA WABUNGE
|
2.125
|
Msikivu kwa Wabunge haswa wenye HOJA zenye maslahi kwa Taifa; Amejitahidi sana kukwepa upendeleo wa kisiasa na kuilinda serikali; Anayumbishwa na makundi au siasa.
|
GEORGE
BONIFACE
|
UZINGATIAJI KANUNI
|
2.3125
| ||
UPENDELEO WA KISIASA
|
3.28125
| |||
UZINGATIAJI HOJA
|
2.09375
| |||
USHABIKI BUNGENI
|
3.4375
| |||
JUMLA
|
KIWANGO
|
13.25
| ||
WASTANI
|
2.65
| |||
3
|
MAKINDA,
ANNE
SEMAMBA
|
USIKIVU KWA WABUNGE
|
3.03125
|
Imara kwenye kanuni na kuzingatia hoja; Anayumbishwa na ushabiki kisiasa; si msikivu kwa wabunge.
|
UZINGATIAJI KANUNI
|
2.65625
| |||
UPENDELEO WA KISIASA
|
3.46875
| |||
UZINGATIAJI HOJA
|
2.75
| |||
USHABIKI BUNGENI
|
2.9375
| |||
JUMLA
|
KIWANGO
|
14.84375
| ||
WASTANI
|
2.96875
|
Anajitahidi sana kuzingatia kanuni; Anayumbishwa na makundi kisiasa; si msikivu kwa wabunge.
| ||
4
|
MHAGAMA,
JENISTER
JOAKIM
|
USIKIVU KWA WABUNGE
|
3.21875
| |
UZINGATIAJI KANUNI
|
3.15625
| |||
UPENDELEO WA KISIASA
|
3.5
| |||
UZINGATIAJI HOJA
|
3.53125
| |||
USHABIKI BUNGENI
|
3.3125
| |||
JUMLA
|
KIWANGO
|
16.71875
| ||
WASTANI
|
3.34375
| |||
5
|
MABUMBA,
SILVESTER
MASELE
|
USIKIVU KWA WABUNGE
|
4.25
|
Haoneshi ushabiki wa wazi wa kisiasa; hushindwa kuhimili mivuto ya makundi na upendeleo wa kisiasa; Si msikivu kwa wabunge.
|
UZINGATIAJI KANUNI
|
4.25
| |||
UPENDELEO WA KISIASA
|
3.78125
| |||
UZINGATIAJI HOJA
|
3.90625
| |||
USHABIKI BUNGENI
|
3.25
| |||
JUMLA
|
KIWANGO
|
19.4375
| ||
WASTANI
|
3.8875
|
Source: http://www.wavuti.com/#ixzz20gaCDvb5
ANGALIZO LA VIWANGO:
1.00 – 1.49 = Uongozi Mzuri Sana,
1.50 – 2.49 = Uongozi Mzuri
2.50 – 3.49 = Uongozi wa Wastani
3.50 – 4.49 = Uongozi Dhaifu
4.50 – 5.0 = Uongozi Dhaifu Sana
Kwa Ujumla1.00 – 1.49 = Uongozi Mzuri Sana,
1.50 – 2.49 = Uongozi Mzuri
2.50 – 3.49 = Uongozi wa Wastani
3.50 – 4.49 = Uongozi Dhaifu
4.50 – 5.0 = Uongozi Dhaifu Sana
Taarifa hii imeonesha mapungufu kadhaa kwenye uongozi na utendaji wa kazi wa viongozi wa Bunge na hivyo kutoa changamoto kwa viongozi wa Bunge na wabunge kuimarisha utendaji wao iwapo wangependa kutekeleza wajibu wao kwa jamii. Ni matarajio yetu kuwa wabunge watatumia taarifa hii kuimarisha mjadala wa bajeti ya 2012/13 unaoendelea, ikiwa ni pamoja na kendeha na kusimamia vema vikao na mijadala ya Bunge na kutoa changamoto kwa utendaji wa serkali kwa maslahi ya jamii.
Tunakumbusha pia kuwa bado Bunge limeendelea kutumia muda vibaya kwa wabunge kuendeleza vijembe, kebehi, shukrani, pongezi na salamu. Hata baada ya miaka miwili sasa baada ya Uchaguzi na Serikali kuundwa bado wabunge wameendelea kutoa shukrani kwa Rais, wapiga kura wao na wengineo. Matumizi haya ya muda yanapunguza mijadala na mwendelezo wa ushiriki wa wabunge kwa ufasaha.
Mapendekezo
1. Ipo haja ya wabunge kujiangalia kwa karibu uwezo na utayari wao kujadili maswala ya maslahi kwa taifa bila kuingiza ushabiki na maslahi binafsi.
2. Iangaliwe upya akidi ya wabunge katika kupitisha hoja (angalau iwe robo tatu na sio nusu ya wabunge kama ilivyo sasa).Hii iendane na haja kwa Mhe, Spika kujiridhisha bila kuacha shaka juu ya idadi ya kura za wabunge kwenye hoja husika, na haswa walioshiriki mjadala baadala ya kuingia kwa ajili ya kupiga kura tu;
3. Spika atumie mamlaka na kanuni za Bunge ili kudhibiti maudhui, mantiki na maana ya mijadala ya Bunge bila kuathiri maslahi ya taifa. Katika hili Mhe Spika, Naibu na Wenyeviti wa Bunge,wana dhamana ya kuhakikisha ushabiki wa kisiasa haupati nafasi kuvuruga Bunge
4. Tunaona ipo nafasi kubwa kwa Spika kusaidia na kuelekeza bunge ili lifanye kazi zake vizuri zaidi. Spika atumie nafasi hii baadala ya yeye kuangukia kwenye ushabiki na kuilinda serikali.
Imetolewa na Taasisi ya Raia ya Haki za Kisiasa na Mwenendo wa Bunge,
CIVIL AND POLITICAL RIGHTS WATCH
Marcossy Albanie
Mkurugenzi Mtendaji
No comments:
Post a Comment