Friday, June 22, 2012

WANACHOANDIKA WADAU KATIKA FACEBOOK KUHUSU MGOMO UNAOTARAJIWA WA MADAKTARI SAA 6 USIKU


Mmmh...!! Sijui kama unatambua thamani ya UHAI wako...!!

COunt down to
''TOOLS DOWN''
I hate this.
''Have mercy ooh LORD''
 ·  · 
 ·  · 
  • DUH...!MADAKTARI wametangaza Kuanza Tena MGOMO kesho...yaani Kuanzia sa 6 USIKU....duh!POLENI Wagonjwa maana VIFO vitaongezeka....Tuombe SERIKALI yetu ITATUE Matatizo yao na IKAONGEE nao na ikibidi hata BUNGE lihairishwe na Nguvu zote Wazipeleke KUTATUA hili TATIZO Kabla ya SAA 6 USIKU....maana likibaki hivi TUTEGEMEE kuongezeka kwa VIFO Mahosipitalini
     ·  · 5 minutes ago via mobile · 

No comments: