Tuesday, June 26, 2012

MASHARI YA UGANDA , WATU WENGI ZAIDI WANAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA

Wananchi wakijaribu kuwaokoa watu waliofunikwa na udongo

 Mashariki mwa Uganda ambapo idadi ya watu waliofariki kutokana na maporomoko ya ardhi yaliotokea jana (25.06.2012) imeongezeka na kufikia zaidi ya watu 100, huku wengine wengi wakiwa hawajulikani waliko.
Kwa sasa shughuli za uokoaji zinaendelea katika eneo hilo, huku kukiwa na changamoto kubwa kufuatia matope mazito yaliozunguka eneo hilo.
Chanzo: DW swahili

No comments: