Friday, June 22, 2012

MAJINA YA WAKURUGENZI WALIOFUTWA KAZI, KUHAMISHWA , KUSIMAMISHWA

WALIOVULIWA MADARAKA na vituo vyao vya kazi ambapo makosa yalifanyika kuwa ni:

1.       Consolata Kamuhabwa, (Halmashuri ya Wilaya ya Karagwe)

2.       Ephraim Kalimalwendo (Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa)

3.       Elly Mlaki (Halmashauri ya Wilaya ya Babati)

4.       Eustach Temu (Halmashauri ya Wilaya ya Muheza)

5.       Jacob Kayange (Halmashauri ya Wilaya Ngorongoro)

6.       Hamida Kikwega (Halmashauri ya Wilaya ya Chato)

7.       Majuto Mbuguyu (Halmashauri ya Jiji la Tanga)

8.       Raphael Mbunda (Halmashauri ya Manispaa ya Arusha)

WALIOPUMZISHWA KAZI ni:

1.       Xavier Tiweselekwa (Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi),

2.       Erika Mussica aliyekuwa Mkurugenzi wa Wilaya ya Sengerema

3.       Theonas Nyamhanga,aliyekuwa Mkurugenzi wa Wilaya ya Kishapu

WALIOPEWA ONYO KALI na vituo vyao vya kazi ni:

1.       Judetatheus Mboya (Halmashauri ya Wilaya ya Newala)

2.       Lameck Masembejo (Halmashauri ya Wilaya ya Masasi)

3.       Abdallah Njovu (Halmashauri ya Wilaya Tandahimba)

4.       Jane Mutagurwa (Halmashauri ya Wilaya Shinyanga)

5.       Silvia Siriwa (Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga)

6.       Lewis Kalinjuna (Halmashauri ya Kigoma)

7.   Kelvin Makonda (Halmashauri ya Bukombe

8.   Alfred Luanda (Halmashuri ya Ulanga)

9.   Fanuel Senge (Halmashauri ya Tabora)

10.   Beatrice Msomisi (Halmashauri ya Bahi)

11.   Maurice Sapanjo (Halmashauri ya Wilaya ya Chunya)


WAKURUGENZI WAPYA:-

1.       Jenifer Omoro (Halmashauri ya Mji wa Kibaha)

2.       Fidellica Myovela (Halmashauri ya Wilaya ya Musoma)

3.       Hadija Makuwani (Manispaa ya Tabora)

4.       Ibrahimu Matovu (Halmashauri ya Wilaya ya Muheza)

5.       Idd Mshili (Halmashajuri ya Mtwara)

6.       Julias Madiga (Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro)

7.       Kiyungi Mohamed Kiyungi (Halmashauri ya Shinyanga)

8.       Lucas Mweri (Mtendaji wa Wilaya ya Namyumbu)

9.       Miriam Mmbaga (Halmashauiri ya Wilaya ya Kigoma)

10.   Mwamvua Mrindoko (Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea)

11.   Pendo Malembeja (Halmashauri ya Wilaya Kwimba)

12.   Pundenciana Kisaka (Halmashauri ya Wilaya Ulanga)

13.   Ruben Mfune (Halmashauri ya Wilaya Ruangwa)

14.   Tatu Selemani (Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha)

Ghasia alisema uteuzi huo wa wakurugenzi umeanza tangu Aprili 24, 2012.

WALIOHAMISHWAna vituo vyao vya kazi ni:

1.       Eizabeth Kitundu ambaye anatoka Maswa kwenda Misenyi

2.       Afred Luanda anatoka Ulanga kwenda Kigoma Ujiji

3.       Robert Kitimbo anatoka Mpwapwa kwenda Manispaa ya Dodoma

4.       Shaaban Ntarambe anatoka Kwimba kwenda Chato

5.       Francis Namaumbo anatokea Masasi kahamishiwa Mafia

6.       Hilda Lauwo anatoka Ludewa anahamishiwa Maswa

7.       Fanuel Senge anatoka Manispaa ya Tabora anahamishiwa Mpwapwa

8.       Upendo Sanga natoka Meatu anahamishiwa Mbeya

9.       Isaya Mngurumi anatoka Kisarawe anahamishiwa Meatu

10.   Lewis Kalinjuna anatokea Kigoma Ujiji anahamishiwa Korogwe

11.   Dominic Kweka anatoka Kigoma anahamishiwa Babati

12.   Lameck Masembejo ambaye anahamishiwa Kilosa akitokea Korogwe

13.   Azimina Mbilinyi anatokea Kibaha anakwenda Kilombero

14.   Bosco Ndunguru anatokea Kilolo anakwenda Kilolo

15.   Karaine Ole Kuney anatokea Musoma anakwenda Ngorongoro

16.   Mohamed Ngwalima anatokea Mtwara kwenda Kilolo

17.   Gladys Dyamvunye anatokea Nanyumbu kwenda Masasi

18.   Eden Munis kutoka Morogoro kwenda Ludewa

19.   Christina Midelo kutoka Korogwe kwenda Iramba

20.   Anna Mwahalende kutoka Moshi kwenda Korogwe

21.   Mathias Mwangu kutoka Ngara kwenda Singida

22.   Yona Maki kutoka Manispaa ya Singida kwenda Kisarawe

No comments: